Thursday, December 17, 2009

 

Haki za Wanyama


Hata wanyama wana haki zao na zinastahili kuheshimiwa. Basi hili la abiria jijini Dar es salaam (daladala) ambalo hutoa huduma kati ya Gongo la Mboto na Mwenge limebeba mbuzi ambaye amefungwa juu kana kwamba ni mzigo. Hata nyama inaweza kuwa tamu kweli!

Comments: Post a Comment



<< Home

This page is powered by Blogger. Isn't yours?